Gatemile Farm Tanzania
  • Home
  • Huduma zetu
  • Bidhaa zetu
  • Bei zetu
  • Fanya manunuzi
  • Wasiliana nasi
  • Tizama picha(Gallery)
  • NUNUA BATA
  • NUNUA KUKU
  • NUNUA NGURUWE
  • NUNUA MBUZI
  • MAZIWA SAFI
  • NUNUA MAYAI
AGIZA SASA
Simu: +255713352716 au 0712647150

GATEMILE FARM TANZANIA LTD

  • Home
  • Afya
    • Mayai
    • Maziwa
  • Wanyama
    • Mbuzi
    • Ng'ombe
    • Nguruwe
  • Kuku
    • Wa kienyeji
    • Wa kisasa
  • Bata
  • About Us
BATA
kwa mahitaji ya kula na kufuga
NGURUWE-NYAMA
Nyama safi iliyoandaliwa kwa umakini
KUKU
Kuku wa kisasa na wa kienyeji
MAYAI
Mayai ya kisasa na kienyeji
VIFAA
Vifaa vya ufugaji kuku
List Slider

NUNUA NGURUWE

NGURUWE WETU wamepigwa chanjo aina zote na ni nguruwe walio nona na wenye afya.

GATEMILE Farm tunao nguruwe kwa ajili ya mbegu, kwa ajili ya kufuga pia na kwa ajili ya matumizi ya kufuga.

Ukinunua nguruwe kwetu tutakupatia usafiri bure ndani ya mikoa ya Pwani na Dar es salaam. Pia ushauri wa bure wa kitaalam wa ufugaji wa nguruwe.

Nguruwe wetu hufikia mpaka ukuwa wa MITA mbili uzito mpaka kilo 200.

tunauza nguruwe BORA Dar es salaam na pwani Tanzania. kwa mahitaji ya manunuzi bofya hapa
Home

KARIBU GATEMILE!

Wafugaji, wauzaji na wasambazaji wa wanyama na bidhaa zitokanazo na wanyama.

Pia tunatoa ushauri na mafunzo ya ufugaji.


JINSI YA KUPATA BIDHAA ZETU

Kwa wakazi wa Dar es salaam na Pwani utapata huduma ya usafiri bure na malipo ya bidhaa yatafanyika pale utakapopata mzigo wako.

1. bofya agiza sasa
2. jaza form ya kuagiza kwa usahihi
3. submit
4. tutakupigia simu mzigo wako ukiwa tayari
5. tunakufikishia mzigo wako na malipo yatafanyika.


Pia unakaribishwa kutembelea shamba letu lililopo Kibaha mkoani pwani Kwa ajili ya kupata huduma zetu ama bidhaa zetu.

Mahali tulipo

Copyright © Gatemile Farm Tanzania
Design by Dmwabuka | Hudson Theme.NewBloggerThemes.com

TOP

ORDER NOW