Gatemile Farm Tanzania
  • Home
  • Huduma zetu
  • Bidhaa zetu
  • Bei zetu
  • Fanya manunuzi
  • Wasiliana nasi
  • Tizama picha(Gallery)
  • NUNUA BATA
  • NUNUA KUKU
  • NUNUA NGURUWE
  • NUNUA MBUZI
  • MAZIWA SAFI
  • NUNUA MAYAI
AGIZA SASA
Simu: +255713352716 au 0712647150

GATEMILE FARM TANZANIA LTD

  • Home
  • Afya
    • Mayai
    • Maziwa
  • Wanyama
    • Mbuzi
    • Ng'ombe
    • Nguruwe
  • Kuku
    • Wa kienyeji
    • Wa kisasa
  • Bata
  • About Us
BATA
kwa mahitaji ya kula na kufuga
NGURUWE-NYAMA
Nyama safi iliyoandaliwa kwa umakini
KUKU
Kuku wa kisasa na wa kienyeji
MAYAI
Mayai ya kisasa na kienyeji
VIFAA
Vifaa vya ufugaji kuku
List Slider

Bidhaa zetu

KARIBU GATEMILE FARM TANZANIA.


GATEMILE FARM tunauza bidhaa mbali mbali za shamba hususani shamba katika ufugaji. Bidhaa bora za mifugo kwa ajili ya afya/kula. Pia bidhaa bora kwa ajili ya biashara yako.

BIDHAA ZETU NI:
  1. KUKU WA NYAMA
  2. KUKU WA MAYAI
  3. MAYAI
  4. BATA 
  5. MBUZI
  6. NG'OMBE
  7. NGURUWE
  8. MAZIWA
  9. KWARE
  10. MAYAI YA KWARE
  11. SUNGURA

Bidhaa zote hizi zinapatikana GATEMILE FARM TANZANIA lililopo Kibaha mkoani pwani. Na ukihitaji bidhaa zetu usisite kuwasiliana nasi. Na utaletewa popote ulipo kwa mikoa ya Pwani na Dar es salaam.
Home

KARIBU GATEMILE!

Wafugaji, wauzaji na wasambazaji wa wanyama na bidhaa zitokanazo na wanyama.

Pia tunatoa ushauri na mafunzo ya ufugaji.


JINSI YA KUPATA BIDHAA ZETU

Kwa wakazi wa Dar es salaam na Pwani utapata huduma ya usafiri bure na malipo ya bidhaa yatafanyika pale utakapopata mzigo wako.

1. bofya agiza sasa
2. jaza form ya kuagiza kwa usahihi
3. submit
4. tutakupigia simu mzigo wako ukiwa tayari
5. tunakufikishia mzigo wako na malipo yatafanyika.


Pia unakaribishwa kutembelea shamba letu lililopo Kibaha mkoani pwani Kwa ajili ya kupata huduma zetu ama bidhaa zetu.

Mahali tulipo

Copyright © Gatemile Farm Tanzania
Design by Dmwabuka | Hudson Theme.NewBloggerThemes.com

TOP

ORDER NOW