Bidhaa zetu
KARIBU GATEMILE FARM TANZANIA.
GATEMILE FARM tunauza bidhaa mbali mbali za shamba hususani shamba katika ufugaji. Bidhaa bora za mifugo kwa ajili ya afya/kula. Pia bidhaa bora kwa ajili ya biashara yako.
BIDHAA ZETU NI:
- KUKU WA NYAMA
- KUKU WA MAYAI
- MAYAI
- BATA
- MBUZI
- NG'OMBE
- NGURUWE
- MAZIWA
- KWARE
- MAYAI YA KWARE
- SUNGURA
Bidhaa zote hizi zinapatikana GATEMILE FARM TANZANIA lililopo Kibaha mkoani pwani. Na ukihitaji bidhaa zetu usisite kuwasiliana nasi. Na utaletewa popote ulipo kwa mikoa ya Pwani na Dar es salaam.