Huduma zetu
GATEMILE FARM - HUDUMA ZETU.
GATEMILE FARM TANZANIA tunatoa huduma zifuatazo:
1. Chakula BORA cha kuku
Tunatengeneza na kuuza chakula bora cha kuku wa aina zote. kuku wa nyama(broilers), kuku wa mayai(layers), kuku wa kienyeji. na kusambaza chakula cha kuku chenye ubora wa hali ya juu.
2. Ushauri na mafunzo ya ufugaji.
Kama kuna tatizo katika mifugo yako, tunatoa ushauri wa kitaalam, kutokana na uzoefu wetu wa hali ya juu katika ufugaji, wataalam wetu watakupatia ushauri na mafunzo ya namna ya kufuga kwa usahihi mifuhgo utakayo nunua kutoka kwetu(bure), ama mifugo ulionayo(kwa malipo nafuu).
- Ushauri juu ya magonjwa ya mifugo(bure)
- Ushauri namna ya kufuga(bure)
- Ushauri juu ya kuongeza mazao ya mifugo(bure)
3. Kutotolesha mayai
Tunatotolesha mayai ya bata, kuku, kware, kanga, bata bukini na njiwa. Tuna mashine kubwa za incubators, na hatchers za kisasa na kutosha.
- - tunatoa huduma ya kutotolesha mayai ya broilers
- - mayai ya layers
- - mayai ya kware