Toggle navigation
Home
Huduma zetu
Bidhaa zetu
Bei zetu
Fanya manunuzi
Wasiliana nasi
Tizama picha(Gallery)
NUNUA BATA
NUNUA KUKU
NUNUA NGURUWE
NUNUA MBUZI
MAZIWA SAFI
NUNUA MAYAI
AGIZA SASA
Simu: +255713352716 au 0712647150
GATEMILE FARM TANZANIA LTD
Home
Afya
Mayai
Maziwa
Wanyama
Mbuzi
Ng'ombe
Nguruwe
Kuku
Wa kienyeji
Wa kisasa
Bata
About Us
BATA
kwa mahitaji ya kula na kufuga
NGURUWE-NYAMA
Nyama safi iliyoandaliwa kwa umakini
KUKU
Kuku wa kisasa na wa kienyeji
MAYAI
Mayai ya kisasa na kienyeji
VIFAA
Vifaa vya ufugaji kuku
List Slider
MAZIWA SAFI
Home
KARIBU GATEMILE!
Wafugaji, wauzaji na wasambazaji wa wanyama na bidhaa zitokanazo na wanyama.
Pia tunatoa ushauri na mafunzo ya ufugaji.
JINSI YA KUPATA BIDHAA ZETU
Kwa wakazi wa Dar es salaam na Pwani utapata huduma ya usafiri bure na malipo ya bidhaa yatafanyika pale utakapopata mzigo wako.
1. bofya agiza sasa
2. jaza form ya kuagiza kwa usahihi
3. submit
4. tutakupigia simu mzigo wako ukiwa tayari
5. tunakufikishia mzigo wako na malipo yatafanyika.
Pia unakaribishwa kutembelea shamba letu lililopo Kibaha mkoani pwani Kwa ajili ya kupata huduma zetu ama bidhaa zetu.
Mahali tulipo